Jumatatu, 9 Juni 2014

Kikwete naye yumo

Rais Jakaya Mrisho kikwete amehudhuria kwenye maziko ya mtu wetu wanguvu Mzee Small

Bye BYE MZEE SMALL

Mazishi ya marehemu mzee small kufanyika leo saa 10 jioni
Jina la bwana lihimidiwe

Jumapili, 8 Juni 2014

BONGO MOVIE KULIKONI?

Msanii mkongwe wa vichekesho Mzee Small amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya taifa muhimbili taratibu za mazishi kupangwa nyumbani kwake tabata mawenzi
Jina la bwana lihimidiwe