Jumapili, 8 Juni 2014

BONGO MOVIE KULIKONI?

Msanii mkongwe wa vichekesho Mzee Small amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya taifa muhimbili taratibu za mazishi kupangwa nyumbani kwake tabata mawenzi
Jina la bwana lihimidiwe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni