Ijumaa, 30 Mei 2014

Vizuri kwisha

Nilipata hii habari mda kidogo lakini nimeogopa kusema kwakua sikua na uakika na nilichokisikia kua ndugu yetu George Tyson mtayarishaji na Director wa bongo movie amefariki huku kilicho sababisha ni ajali iliyo tokea huko morogoro mungu amlaze mahali pema peponi Amen.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni