Jumanne, 10 Novemba 2015

                            Mhe Raisi noma kuanza na kuanza balaa angalizo usije choka haraka

Jumatatu, 9 Juni 2014

Kikwete naye yumo

Rais Jakaya Mrisho kikwete amehudhuria kwenye maziko ya mtu wetu wanguvu Mzee Small

Bye BYE MZEE SMALL

Mazishi ya marehemu mzee small kufanyika leo saa 10 jioni
Jina la bwana lihimidiwe

Jumapili, 8 Juni 2014

BONGO MOVIE KULIKONI?

Msanii mkongwe wa vichekesho Mzee Small amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya taifa muhimbili taratibu za mazishi kupangwa nyumbani kwake tabata mawenzi
Jina la bwana lihimidiwe

Ijumaa, 30 Mei 2014

Vizuri kwisha

Nilipata hii habari mda kidogo lakini nimeogopa kusema kwakua sikua na uakika na nilichokisikia kua ndugu yetu George Tyson mtayarishaji na Director wa bongo movie amefariki huku kilicho sababisha ni ajali iliyo tokea huko morogoro mungu amlaze mahali pema peponi Amen.

Alhamisi, 29 Mei 2014

Rooney nae Yumo

Mshambuliaji wa Timu ya taifa ya England Wayne Rooney amesema kuwa anapenda sana mziki na pia ataupa kipaumbele wimbo wa drunk in love wa beyonce na J-zee
Nakusema kuwa anaizimia sana hiyo ngoma

Jumatano, 28 Mei 2014

Man U Msiba Mkubwa

Mmiliki wa timu ya man united malcom glazer amefariki dunia  akiwa na  umri wa miaka 85 Malcom Aliinunua team hiyo kwa pesa trilioni  2.2 za kikwetukwetu ila alifurahi kuona team hiyo ikipata mafanikio makubwa na  kuchukua vikombe mbali mbali
R  I P Malcom Glazer