Mmiliki wa timu ya man united malcom glazer amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85 Malcom Aliinunua team hiyo kwa pesa trilioni 2.2 za kikwetukwetu ila alifurahi kuona team hiyo ikipata mafanikio makubwa na kuchukua vikombe mbali mbali
R I P Malcom Glazer
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni