Jumatano, 28 Mei 2014

Man U Msiba Mkubwa

Mmiliki wa timu ya man united malcom glazer amefariki dunia  akiwa na  umri wa miaka 85 Malcom Aliinunua team hiyo kwa pesa trilioni  2.2 za kikwetukwetu ila alifurahi kuona team hiyo ikipata mafanikio makubwa na  kuchukua vikombe mbali mbali
R  I P Malcom Glazer

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni