Nasikitika kutangaza kwa mara ya kwanza habari ya kifo cha Msanii wa bongo movie anyetambulika kwa jina la Recho Haule amefariki dunia alfajili ya leo baada ya siku za nyuma kujifungua kwa operesheni hivyo hali yake kuwa mbaya na kulazimika kulazwa (ICU) hadi kumkuta umauti mungu amlaze mahali pema peponi Ameni.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni