Kwa Wale wa kuperuzi na Kudadisi Mpango huo Blog hiyo ya kupata manews na mipango kibao ya town kazi kwako tu msomaji uschoke kupitia blog hii mara kwa mara kwasababu haitakuchosha!!
Jumatano, 28 Mei 2014
Niki wa Pili kateka bunge
Msanii kutoka weusi anaefanya vizuri katika tasnia ya mziki bongo amesifa na wabunge baada ya kuachia ngoma yake ya sitaki kazi na kusema kuwa anazidi kuhimiza vijana kujiajili na kuondokana na umasikini .
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni