Rais Jakaya Mrisho kikwete amehudhuria kwenye maziko ya mtu wetu wanguvu Mzee Small
Kwa Wale wa kuperuzi na Kudadisi Mpango huo Blog hiyo ya kupata manews na mipango kibao ya town kazi kwako tu msomaji uschoke kupitia blog hii mara kwa mara kwasababu haitakuchosha!!
Jumatatu, 9 Juni 2014
Jumapili, 8 Juni 2014
BONGO MOVIE KULIKONI?
Msanii mkongwe wa vichekesho Mzee Small amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya taifa muhimbili taratibu za mazishi kupangwa nyumbani kwake tabata mawenzi
Jina la bwana lihimidiwe
Ijumaa, 30 Mei 2014
Vizuri kwisha
Nilipata hii habari mda kidogo lakini nimeogopa kusema kwakua sikua na uakika na nilichokisikia kua ndugu yetu George Tyson mtayarishaji na Director wa bongo movie amefariki huku kilicho sababisha ni ajali iliyo tokea huko morogoro mungu amlaze mahali pema peponi Amen.
Alhamisi, 29 Mei 2014
Rooney nae Yumo
Mshambuliaji wa Timu ya taifa ya England Wayne Rooney amesema kuwa anapenda sana mziki na pia ataupa kipaumbele wimbo wa drunk in love wa beyonce na J-zee
Nakusema kuwa anaizimia sana hiyo ngoma
Jumatano, 28 Mei 2014
Man U Msiba Mkubwa
Mmiliki wa timu ya man united malcom glazer amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85 Malcom Aliinunua team hiyo kwa pesa trilioni 2.2 za kikwetukwetu ila alifurahi kuona team hiyo ikipata mafanikio makubwa na kuchukua vikombe mbali mbali
R I P Malcom Glazer
Magese balaa!!
Mwanamitindo na pia aliekua miss Tanzania Millen Happiness Magese amewaza kufungua Hospital kwa ajili ya matatizo ya akina mama
Mungu akutie nguvu katika harakati zako
Viumbe Vingine Ni shida!!
MAAJABU YA DUNIA : KIUMBE HUYU MWENYE UREFU WA FUTI 14 AVULIWA HUKO FLORIDA, ANAUZITO WA AJABU.. TAZAMA HAPA
A Florida fisherman has caught an enormous 14-foot deep-sea creature so old it has barnacles on it.
The 800-pound rarely-seen beast was caught in the waters off Miami Beach and the fish was so rare it was like ‘a dinosaur’.
Captain Mark Quartiano, a charter boat operator who also goes by ‘Mark the Shark’, posted a picture of the Dactylobatus clarkii, a deep sea species also referred to as ‘hookskate’ or ‘fingerskate’, in an Instagram photo he posted over the weekend.


The monster inhabits muddy sea depths of up to 1,000 feet – this one was caught in waters of about 500 feet deep, Quartiano said.
‘I’ve caught one like it before, but never that size, not in the last 30 years I’ve been doing this,’ Quartiano told ABC News. ‘It’s a very rare fish. It’s like a big gigantic whipping stingray. It’s a dinosaur.’




Niki wa Pili kateka bunge
Msanii kutoka weusi anaefanya vizuri katika tasnia ya mziki bongo amesifa na wabunge baada ya kuachia ngoma yake ya sitaki kazi na kusema kuwa anazidi kuhimiza vijana kujiajili na kuondokana na umasikini .
Nao Wamo!!
Mastaa wa bongo flavor wenye mvuto zaidi kwa akina dada imeonekana ni;
Mr Blue
Hemed phd
Diamond
Juma jux
Ally kiba
Hao ndo wameshika chat katika upekuzi wa leo
Jumanne, 27 Mei 2014
Ngwea Miaka Buku hatosaulika
Ni mwaka mmoja sasa toka ulipo tutoka mwasisi wa mziki wa bongo flavor Mangwea waTanzania wanakukumbukw na kuombea upumzike kwa amani amen.
Kova kuongeza ulinzi mitaani
Kova amesisitizwa kuongeza ulinzi katika maeneo ya buguruni na ilala kutokana na kuwa na vibaka wengi awali jeshi la polisi lilishikilia vibika kadhaa lakini wananchi wameomba kuimarishwe zaidi.
Ni Chome Nisichome??
Hii inawausu kinoma noma maplayer na wapenda mapenzi kwasababu mapenzi huleta mawazo na mawazo ni kujipa ugonjwa wa moyo poleni wote mlio chomwa na mwiba huu wa mapenzi (ni mtazamo tu)
David Luiz ni Shidaa
Usilolijua kuhusu jina lako
TATHMINI YA MAJINA KUTOKANA NA HERUFI ZA MWANZO ZA MAJINA HAYO
HERUFI A
Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira.
HERUFI B
wenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anap
otaka kulinda vilivyo katika himaya yake.
HERUFI C
Mwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa kukubadilika badilika, mshindani na hupenda kupigania malengo yao wanayopenda. Ni watu wa wabunifu na wanaopenda mawasiliano.
HERUFI D
Mwenye jina linaloanziana na herufi D ni mtu anayependa usawa, Biashara. Ni watu wanaopenda kuamrisha na mwenye kupenda usafi. Ni jeuri na wenye msimamo.
HERUFI E
Mwenye jina linaloanzia na herufi E ni mtu mwenye roho nzuri ,yenye mapenzi na huruma. mwenye kupenda uhuru katika mapenzi na mchangamfu. Kinyume na hivyo atakuwa ni mtu asiotegemewa na kigeugeu.
HERUFI F
Mwenye jina linaloanzia na herufi F ni mtu mwenye mapenzi,huruma , roho nzuri na ana uwezo wa kuwafariji watu. Ni mtetezi wa watu na mwenye huzuni lakini ni mzito wa kufanya maamuzi.
HERUFI G
Mwenye jina linaloanzia na herufi G ni mtu mwenye mwenye imani ya kidini na nguvu za kiroho. Ana kipaji cha kubuni na uwezo wa kutatua matatizo ya watu. ni mtu mwenye hisia kali,msomi, mpweke na mkaidi wa kukubali ushauri wa kutoka kwa watu.
HERUFI H
Mwenye jina linaloanzia na herufi H ni mtu mwenye ubunifu na nguvu katika biashara, hupata faida kubwa kutokana na jitihada na bidii zake. ni mwenye mawazo mengi, mchoyo na mbinafsi.
HERUFI I
Mwenye jina linaloanzia na herufi I ni mtu mwenye kupenda sheria, ana huruma na utu. Wakati mwingi hajiamini na ni mwenye hasira za haraka.
HERUFI J
Mwenye jina linaloanzia na herufi J ni mtu mwenye matamanio,mkweli, mkarimu na muerevu. asiyekubali kushindwa na hupata mafanikio makubwa. Wakati mwingine anakuwa ni mtu mvivu na aliyekosa mwelekeo.
HERUFI K
Mwenye jina linaloanzia na herufi K ni mtu mwenye jeuri. mwenye msimamo thabiti,mashuhuri na mwenye uwezo wa kushawishi na kuamsha hisia za watu wana uwezo wa utambuzi ambao watu wengi hawana. ni mtu asioridhika na hali ya kimaisha.
HERUFI L
Mwenye jina linaloanzia na herufi L ni mtu wa vitendo, mwenye hisani na aliyejipanga vizuri kimaisha. Huwa wanapata ajali mara kwa mara.
HERUFI M
Mwenye jina linaloanzia na herufi M ni mtu mwenye kujiamini sana, mchapakazi na hupata mafanikio. ni mtu mropokaji,mwenye haraka na mwepesi kukasirika.
HERUFI N
Mwenye jina linaloanzia na herufi N ni mtu mwenye ubunifu, hisia kali na hupenda kuwasiliana lakini ana wivu sana.
HERUFI O
Mwenye jina linaloanzia na herufi O ni mtu mwenye subra, mvumilivu na mwenye bidii ya kusoma. Ni mtu mwenye kupenda kutumikia jamii na mwenye uwezo mkubwa wa kudhibiti hisia.
HERUFI P
Mwenye jina linaloanzia na herufi P ni mtu mwenye uwezo wa kuamrisha na hekima kubwa. Ana nguvu za kiroho lakini anapenda sana kujitumbukiza kwenye mambo ya watu.
HERUFI Q
Mwenye jina linaloanzia na herufi Q ni mtu mwenye kupenda mambo ya asili. Ni watu wasiyoelezeka nawana uwezo wa kuonyesha vitu visivyojulikana hata hivyo ni mtu aliyepooza sana.
HERUFI R
Mwenye jina linaloanzia na herufi R ni mtu mwenye uvumilivu, wenye huruma lakini ana hasira za haraka. Muda wote anakuwa mpenda amani.
HERUFI S
Mwenye jina linaloanzia na herufi S ni mtu mwenye mvuto mkali wa kuleta utajiri. Ni watu wenye maamuzi ya ghafla na hupenda mageuzi makubwa.
HERUFI T
Mwenye jina linaloanzia na herufi T ni mtu mwenye kupenda ushauri wa kiroho, anatumia nguvu za ziada kusaidia watu na hupata mafanikio baada ya muda mrefu. Ni watu wenye hisia kali sana na ni wepesi kushawishika.
HERUFI U
Mwenye jina linaloanzia na herufi U ni mtu mwenye bahati kubwa kwa ujumla. Anapenda uhuru katika mapenzi. Lakini ni mtu mbinafsi, mwenye tamaa na aliyekosa maamuzi.
HERUFI V
Mwenye jina linaloanzia na herufi V ni mtu Mchapakazi, wenye bidii na asie choka. Hata hivyo ni watu wasiotabirika.
HERUFI W
Mwenye jina linaloanzia na herufi W ni mtu muwazi, wachangamfuu kupita kiasi na mwenye uwezo wa kutambua mtu mwema na mbaya. Ni watu wenye tamaa na hufanya mambo ya hatari.
HERUFI X
Mwenye jina linaloanzia na herufi X ni mtu asiyependa kuwekewa vizuizi katika kwenye anasa na ni rahisi kujiingiza kwenye uzinzi na kujitoa uaminifu.
HERUFI Y
Mwenye jina linaloanzia na herufi Y ni mtu mwenye kupenda Uhuru na hawapendi kupingwa jambo lao lolote. Ni watu wanaokosa uamuzi na husababishia kupoteza bahati katika maisha.
HERUFI Z
Mwenye jina linaloanzia na herufi Z ni mtu mwenye kupenda matumaini na amani. Ni wenye msimamo mkali ila wanashauriwa kufikiria kabla ya kuamua jambo.